Balozi wa Tanzania Belux na Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala akizungumza na Bi. Jacqueline Mneney Maleko Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE) alipomtembelea ofisini kwake Dar es salaam kushauriana naye masuala mbalimbali ya kusaidia kuongeza mauzo ya Tanzania katika soko la Ulaya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. We balozi mbona humkaribishi mgeni kahawa na korosho? au mgeni yupo kwenye diet, basi alau maji ya kunywa.

    ReplyDelete
  2. choyoooooooooooooooooo

    ReplyDelete
  3. Wadau No.1 na No.2 hamkusoma vizuri hapo?

    Yeye Balozi ndiye amekaribishwa Ofisini na Mkurugenzi wa Biashara Jacquilen Maleko!

    Mhe.Balozi Diodorus B. Kamala ni MGENI
    Madame Jacquiline Maleko ni MWENYEJI

    Hivyo Mwenyeji ndiye aliyempatia Balzoi Kamala Kiburudisho Chai/Kahawa na Korosho!

    Mpo hapo?

    ReplyDelete
  4. Katika Watendaji wa Tanzania Safu ya Mabalozi nawakubali Mabalozi Peter Kallaghe wa UK, Mama Liberata Mulamula wa US na pia zaidi mkubali sana huyu Mhe.Balozi Dakitari Diodurus Bubelwa Kamala!

    Anachapa kazi sana, na ni Mzalendo saaana!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...