Rais waZanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania Jaji Francis S.K.Mutungi,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa ajili ya kusalimiana na Rais leo.
Rais waZanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania Jaji Francis S.K.Mutungi,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa ajili ya kusalimiana na Rais leo.
Rais waZanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana na Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania Jaji Francis S.K.Mutungi,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,baada ya mazungumzo yao leo.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mutungi baba naye ni simba wa vitaX2

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...