Bendi maarufu ya mziki wa dansi barani Ulaya Ngoma Africa aka "FFU Ughaibuni",
inawatakia kila la heri na fanaka waTanzania wote kwa kuadhimisha miaka 52 ya Uhuru wa Tanzania (bara),Uongozi wa  bendi hiyo unaiombea kila la heri, Serikali ya Tanzania,Wananchi na Taifa la Tanzania 
Katika kusherekea miaka 52 ya Uhuru.

Ngoma Africa band inawaombea wadau na wananchi wote popote walipo kutumia wakati huu  kujikomboa kimawazo, na kuhakikisha kuwa tunajenga na kudumisha amani, umoja, mshikamano na upendo wa kitaifa, ili kuleta maana kamili ya Uhuru wa maisha ya Mtanzania.

Katika Kusherehekea miaka 52 ya Uhuru, watanzania tunapaswa zaidi kujenga na kuziba nyufa zinazo bobomoa au kujaribu kubomomoa msingi wetu imara wa umoja,Upendo na mshikamano wa kitaifa.
Mungu Ibaraki Tanzania !
Mungu wabariki Watanzania !
Mungu Ibariki Serikali ya Tanzania !

Tafadhali pata burudani kamili at www.ngoma-africa.com


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Miaka 52 iliyopita kulikuwa hakuna nchi inayoitwa Tanzania bara!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...