Home
Unlabelled
KUTOKA MAKTABA: PAN AFRICAN FOOTBALL CLUB
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Waliosimama toka kushoto,Athmani Kilambo(coach)Juma Matokeo,Adolf,Kassim Manara,Mkweche,Ally Ysuf,Nondo Mikidadi(Louis Pereyra)na Juma pondamali(Mensah)Mstari wa mbela,Nimemsahau,Muhaji Muki(Mukde)Omari Kapera(bob Astros)Juma Shaban(uncle j)Godian Mapango(Baby)Mohd Tostao na Baba Manara(Bapo)Hii Ilikua nyuma zaidi sio 1988
ReplyDeleteNadhani hii ilikuwa Pan African ya Mwaka 1981 miaka 5 baada ya kumeguka Mwaka 1976 kutoka Yanga.
ReplyDeleteWaliosimama toka kushoto,Athumani Kilambo(coach)Juma Matokeo,Mohamed Adolf Rishard,Kassim Manara,Mohamed Mkweche,Ally Yusuf,Nondo Mikidadi na Juma Pondamali(Mensah)Mstari wa mbele,Simkumbuki,Muhaji Muki(Lindi)Omari Kapera(kifua wazi)Juma Shabani,Gordian Mapango,Mohamed Yahya Tostao na Kitwana Manara Popat
ReplyDelete1.Juma Pondamali
ReplyDelete2.Mkweche
3.Jeffery Abraham
4.Legder Tenga
5.Jella Mtangwa
6.Aldof Rishaad
7.Kassim Manara
8.Yahaya Tostao
9.Ali Katolila
10.Juma Buruhani
11.Godian Mapango
Wengine (Ally Yusuff,Peter Tino, Idd Chama)I was only 11years old but I still have good good memory of them.
Mdhamini wao alikuwa Mzee Mangara Tabu Mangara. That was my football team.
Waliosimama toka kushoto. Marehemu Athumani Kilambo(Coach), Marehemu Juma Matokeo, Mohd Rishard Adolph, Kassim Manara, Mohd Mkweche, Iddi Msakaa(Ali Yussuf), Mikidadi Nondo, Juma Pondamali- Viongozi.
ReplyDeleteWaliochuchumaa toka kushoto - Gossage Mrisho, Peter Tino, Omar Kapera, Muhaji Mukki, Gordian Mapango, Mohd Yahya Tostao na Kitwana Manara.
Used to be my favorite team. I wonder if this team still exist, and why they can not come back and be on top up there.
ReplyDeleteOne of the best team in those days when Tanzanian football was played by real men.
ReplyDelete