Jumuiya ya WaTanzania Manchester pamoja na  familia ya Bwana Rajab Mbeyu  tunasikitika kuwatangazia kifo cha Ndugu yetu / Mtanzania mwenzetu Bw. HASSAN MBEJU  (pichani) kilichotokea hapa Manchester. 
 Taratibu za kuusafirisha mwili wa marehemu kuelekea Tanzania kwa mazishi zinafanyika nyumbani kwa marehemu . 
Tunaomba kuwapa ratiba rasmi pale itakapokuwa tayari.

Kwa sasa tunawaomba Watanzania wote popote pale mlipo michango yenu ya hali na Mali ili kuweza fanikisha hili. Michango yote tafadhali tunaomba iwasilishwe kwa wahusika  wafuatao:-
    
 Abdul Dau (Leicester ) : 07792104495 
             Abeid   Hamis (London)
NATWEST BANK
Sort Code :61 01 37
Account No: 52724743
Victor Mashamba (Manchester): 07979 656 165 
Tanzania Association in Greater Manchester 
NATWEST BANK
Account No: 21148066
Sort Code : 01 01 97

TAFADHALI WEKA REFERENCE "MBEJU".
 Kwa Maelezo zaidi tafadhali wasiliana na 
wahusika wahusika hapo juu au  wafuatao:
Sophie Mbeyu (Sweden)  +46762898798
Ishaqa Mbeyu (Norway)   +4798473806 or +4796659593
Jestina George  07404332910
Dr.Mohamed Zahrani (London)  07931706414
TANZANIA
Sheikh Issa Othman (Msikiti wa Maamur Dar es salaam) 0719372319
Nuru Mbeyu (Dar es salaam) 0713432565
"INNA LILLAH WA INNA ILAYHI RAJIUUN"
 "KWA HAKIKA SISI SOTE NI WAJA WA MWENYEZI MUNGU NA KWAKE TUTAREJEA "
TUNATANGULIZA SHUKRANI ZETU ZA DHATI
MWENYEZI MUNGU AIWEKE ROHO YA MAREHEMU PEMA PEPONI .
     

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Jina ni MBEYU au MBEJU??? RIP

    ReplyDelete
  2. inna lillah wa inna ilayhi rajiun, Allah amweke katika kundi la waja wema

    ReplyDelete
  3. R.I.P Mbeyu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...