Jumuiya ya WaTanzania Manchester pamoja na familia ya Bwana Rajab Mbeyu tunasikitika kuwatangazia kifo cha Ndugu yetu / Mtanzania mwenzetu Bw. HASSAN MBEJU (pichani) kilichotokea hapa Manchester.
Taratibu za kuusafirisha mwili wa marehemu kuelekea Tanzania kwa mazishi zinafanyika nyumbani kwa marehemu .
Tunaomba kuwapa ratiba rasmi pale itakapokuwa tayari.
Kwa sasa tunawaomba Watanzania wote popote pale mlipo michango yenu ya hali na Mali ili kuweza fanikisha hili. Michango yote tafadhali tunaomba iwasilishwe kwa wahusika wafuatao:-
Abdul Dau (Leicester ) : 07792104495
Abeid Hamis (London)
NATWEST BANK
Sort Code :61 01 37
Account No: 52724743
Victor Mashamba (Manchester): 07979 656 165
Tanzania Association in Greater Manchester
NATWEST BANK
Account No: 21148066
Sort Code : 01 01 97
TAFADHALI WEKA REFERENCE "MBEJU".
Kwa Maelezo zaidi tafadhali wasiliana na
wahusika wahusika hapo juu au wafuatao:
Sophie Mbeyu (Sweden) +46762898798
Ishaqa Mbeyu (Norway) +4798473806 or +4796659593
Jestina George 07404332910
Dr.Mohamed Zahrani (London) 07931706414
TANZANIA
Sheikh Issa Othman (Msikiti wa Maamur Dar es salaam) 0719372319
Nuru Mbeyu (Dar es salaam) 0713432565
TANZANIA
Sheikh Issa Othman (Msikiti wa Maamur Dar es salaam) 0719372319
Nuru Mbeyu (Dar es salaam) 0713432565
"INNA LILLAH WA INNA ILAYHI RAJIUUN"
"KWA HAKIKA SISI SOTE NI WAJA WA MWENYEZI MUNGU NA KWAKE TUTAREJEA "
TUNATANGULIZA SHUKRANI ZETU ZA DHATI
MWENYEZI MUNGU AIWEKE ROHO YA MAREHEMU PEMA PEPONI .
Jina ni MBEYU au MBEJU??? RIP
ReplyDeleteinna lillah wa inna ilayhi rajiun, Allah amweke katika kundi la waja wema
ReplyDeleteR.I.P Mbeyu
ReplyDelete