Mgeni rasmi ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Temeke Ndugu Yahaya Sikunjema akifungua rasmi mkutano wa CCM wa uchaguzi wa jimbo la kigamboni mbele ya Wajumbe wa mkutano huo. Kutoka kushoto kwenye meza kuu ni Mbunge wa Jimbo la Kigamboni Ndugu Faustine Ndugulile, Katibu wa wilaya Temeke, Ndugu Robert Kilenge. Picha na Emmanuel J. Shilatu
Mgombea pekee wa nafasi ya Uenyekiti wa jimbo Ndugu Isack Mahela akiomba kura mbele ya wajumbe 60 waliohudhuria mkutano wa uchaguzi wa jimbo la Kigamboni.
Mgombea pekee wa nafasi ya ukatibu wa jimbo la kigamboni Ndugu Abdallah Chachala akiomba kura mbele ya wajumbe wa mkutano wa uchaguzi wa jimbo la kigamboni. Ndugu Chachala alikuwa akitetea tena nafasi yake ya ukatibu wa jimbo la Kigamboni.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...