Mpenzi wa kufa wa Bwawa la Maini yupo Anfield hivi sasa na keshamwandalia Ankal zawadi nono kwa ushindi wa bao 5-1 dhidi ya Arsenal jana. Asante mdau kwa zawadi bomba.
ANGALIZO: Hivi tunavyoongea Man U wameshikwa shati na Fulham baada ya kupigwa bao dakika ya 94 za majeruhi, na ngoma imemalizika kwa mabao 2-2.
ANGALIZO: Hivi tunavyoongea Man U wameshikwa shati na Fulham baada ya kupigwa bao dakika ya 94 za majeruhi, na ngoma imemalizika kwa mabao 2-2.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...