Chelsea dented Liverpool's dream of a first title in 24 years and kept their own Premier League hopes alive with victory at Anfield.
The Blues led on the stroke of half-time when Reds captain Steven Gerrard slipped, allowing Demba Ba to finish.
Joe Allen and Luis Suarez forced saves after the break, before substitute Willian scored in injury time after Fernando Torres unselfishly squared.
The win moves Chelsea to within two points of their league-leading hosts.
Ha ha ha ha yebba, wataishia kunawa, ubingwa mchezo?
ReplyDeleteTatizo lenu munapiga kelele mapema mno. Sio kosa lenu sababu hamjazoea haya mambo ya ubingwa miaka hii. Hii kitu ni kuviziana kimya kimyaaaaa... Arsenal walitangaza ubingwa baada ya kechi 15, tukashangaa!!! Leo wako wapi? Mashetani mwaka huu tumeamua kupumzika ubingwa.. unachosha ati!
ReplyDeleteAngalau habari imetoka kwenye blog ya jamii. Ninavyofahamu ingeminywa kabisa. Lakini bwawa la maini wangeshinda hapa pangejaa picha lukuki kwa siku kadhaa. Poleni bwawa la maini
ReplyDeleteThe day Gerald dropped the Cup on the floor....hahaaaa
ReplyDelete