Mmoja ya wakulima wa Mahindi Wilaya ya Handeni mkoani Tanga Bw. Adalbertus Bubelwa wa pili kutoka kushoto akimwelezea Mkuu wa wilaya ya handeni Bw. Muhingo Rweyemamu, jinsi alivyoandaa shamba lake. Mkuu huyo wa wilaya alikuwa katika ziara ya kuwatembelea wakulima katika vijiji mbalimbali wilayani humo kuangalia mazao mashambani.
 Mkuu wa wilaya ya Handeni Bw. Muhingo Rweyemamu, kushoto ambaye ni mwenye shamba akipata maelekezo kutoka kwa Afisa Kilimo wa Wilaya hiyo Bw. Yibarik Chiza, aliyemtembelea Mkuu huyo wa wilaya shambani kwake. 
 Mkuu wa wilaya ya Handeni Bw. Mhungo Rweyemamu akiwa ofisini kwake wilayani humo.
 Mkuu wa wilaya ya handeni Bw. Muhingo Rweyemamu, akisalimiana na mmoja wa wananchi alipotembelea katika kijiji cha Kang'anta kuangalia maendeleo ya mnada wa mifugo na mazao ya chakula na biashara.
 Mkuu wa wialya ya Handeni Bw. Muhingo Rweyemamu, kulia akipokea fimbo mbili zilizotengenezwa kwa mpingo kutokaka kwa Mzee Adam Hassan Mtii wa Kijiji cha Mbagwi kilichopo kata ya Misima wilayani humo. Mzee Mtili ameagiza moja ya fimbo hizo apelekewe Rais wa Jamhuri ya Muungano Dk. Jakaya Kikwete.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...