Kmishana wa Polisi Jamii nchini Musa Ali Musa akikaribishwa wilaya ya Same amabko ametembelea na kufanya ukaguzi kujionea hali ikoje ya namna asakari wanaposhirikiana na jamii pamoja na dawati la jinsia.
Kamishna Musa akikaribishwa kufanya ukaguzi katika Gwaride lililoandaliwa na sakari Polisi wilaya ya Same.
Gwaride maalumu lililoandaliwa kwa ajili ya Kimishana wa Polisi Jamii nchini Musa Ali Musa.
Kamishna wa Polisi Jamii,Musa Ali Musa akifanya ukaguzi.
Kamishna wa Polisi Jamii,CP Musa Ali Musa akisilikiliza maelezo toka kwa viongozi wa jeshi la polisi mkoa wa Kilimanjaro.
Kamishna wa Polisi Jamii,CP Musa Ali Musa akizungumza na viongozi wa jeshi la polisi .
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro,SACP Robert Boaz akitoa salamu kwa kamishna wa Polisi Jamii,CP Musa Ali Musa mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika katika ofisi ya mkuu wa polisi wilaya ya Same. 

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...