Kamishna Musa akikaribishwa kufanya ukaguzi katika Gwaride lililoandaliwa na sakari Polisi wilaya ya Same. |
Gwaride maalumu lililoandaliwa kwa ajili ya Kimishana wa Polisi Jamii nchini Musa Ali Musa. |
Kamishna wa Polisi Jamii,Musa Ali Musa akifanya ukaguzi. |
Kamishna wa Polisi Jamii,CP Musa Ali Musa akisilikiliza maelezo toka kwa viongozi wa jeshi la polisi mkoa wa Kilimanjaro. |
Kamishna wa Polisi Jamii,CP Musa Ali Musa akizungumza na viongozi wa jeshi la polisi . |
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...