Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band yenye makao yake kule Ujerumani,inatoa salam maalumu za sikuu ya nane nane kwa wadau wote walio nyumbani Tanzania na nje. Sikuu kuu ya nane nane ambayo mwaka huu 2014 inafanyika kitaifa mkoani Lindi. Kikosi cha Ngoma Africa band aka FFU ughaibuni kinawatakia kila la heri na baraka katika Nane Nane oyeeee!!!!
Usikose kupata burudani at http://www.ngoma-africa.com
au www.ngoma-africa.com
Home
Unlabelled
SALAM ZA NANE NANE KUTOKA NGOMA AFRICA BAND AKA FFU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kikosi maalumu cha kuziwa ghasia nje ya mipaka ya tanzania ! sio mchezo wachizani wakipewaga amri tu wanakipaka
ReplyDeletewakuu wa kazi ze fanya fujo uone ughaibuni na mnafanya mavitu yenu
ReplyDeleteinaonekena hapo atumwi mtoto barua oh mpeleke afande jukwaani
te! te! watoto wa mbwa bin viumbe wa ajabu ffu kazi kweli ipo
ReplyDelete