Bondia Bonans Samweli (kushoto) akimrushia konde Bondia mwenzake Julius Kisalawe wakati wa mpambano wao uliofanyika katika GYM ya Ndame jijini Dar es salaam jana.Bondia Kisalawe alishinda kwa point mchezo huo.


 Bondia Julius Kisalawe akinyooshwa mkono juu kuashilia ushindi wake
 Mabondia Ally Yusuph (kushoto) na Sadam Manjepa wakionyeshana umwamba wakati wa mpambano wao uliofanyika jana katika GYM ya Ndame manzese jijini Dar es salaam. Yusuph alishinda kwa point.
Mabondia Tasha Mjuaji (kushoto) na Hamisi Kicheba wakirushoana makonde wakati wa mpambano wao uliofanyika katika GYM ya Ndame Manzese Midizini Dar es salaam jana. PICHA NA SUPER D BLOG

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...