VIWANJA HIVI VIPO KIGAMBONI,KATA YA PEMBA MNAZI,MTAA WA MUHIMBILI (TANDAI CENTER),VIPO UMBALI WA MITA 600 - 700 KUTOKA BARABARA KUU NI VIWANJA VILIVYOPIMWA.

KWA MAELEZO ZAIDI JUU YA VIWANJA HIVYO,WASILIANA NA NDG. JAMES MPAYO KWA NAMBA HIZO HAPO CHINI.
0784 207877 NA 0754 780878
PIA UNAWEZA KUMTUMIA EMAIL: 
JMPAYO@OVI.COM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Viko kigamboni gani njia ipi ya mwasonga? Maana kigamboni kubwa

    ReplyDelete
  2. TWILA KAMBANGWASeptember 25, 2014

    umeshaambiwa vipo pemba mnazi, ss unauliza kigamboni gani ndiyo nn uwelewi kaka? kigamboni wala sio kubwa, kigamboni ni ndogo sana ni pale kivukoni tu.

    ReplyDelete
  3. Square meter moja shilingi ngap?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...