Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa akipokelewa na Viongozi wa BAKWATA Dodoma na baadhi ya taasisi zilizo chini yake alipofanya ziara ofisini kwao Januari 9, 2015.
Mkuu wa Mkoa Dodoma Chiku Gallawa (kulia) akizungumza na viogozi wa Kanisa la Kiinili Kilutheri Tanzania Mkoa wa Dodoma alipofanya ziara kutembelea taasisi za dini Januari 9, 2015.
Mzee wa Kanisa la Sabato Dodoma Wallace Lusungwi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa Dodoma Chiku Gallawa zawadi ya vitabu wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa kutembelea taasisi za dini Januari 9, 2015.
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...