Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(kualia)akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa kuchezesha droo ya sita ya promosheni ya Jaymillions inayoendeshwa na kampuni hiyo iliyofanyika leo,ambapo jumla ya wateja 947 wamejishindia muda wa maongezi na wateja watano wamejishindia shilingi Milioni 1/- kila mmoja kutoka kushoto ni Msimamizi wa bodi ya michezo ya kubahatisha,Mrisho Millao na Meneja wa huduma za ziada wa kampuni hiyo Mathew Kampambe.Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno Jay kwenda 15544.
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria katika droo ya droo ya sita ya promosheni ya Jaymillions inayoendeshwa na kampuni hiyo iliyofanyika leo, ambapo jumla ya wateja 947 wamejishindia muda wa maongezi na wateja watano wamejishindia shilingi Milioni 1/- kila mmoja.Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno Jay kwenda 15544.
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...