Mpendwa wetu imekua masaa, siku, juma, miezi na sasa ni mwaka tangu ulipokwenda kwa bwana siku Ya jumamosi Tarehe 31 mwezi wa Tano mwaka 2014 saa 7 mchana.
Tunaamini ulipigana vita vilivyo vizuri (2 Timothy 4:7) bado tunakupenda sana na tunakuhitaji lakini Mungu alikupenda zaidi na kukuita kwake.
Tunaamini upo pamoja na Yesu na unatuombea zaidi. Unakumbukwa na Mke wako Maria,watoto wako Billy,Albert,Siya na Beatrice.Wajukuu Lynn na Lysette,dada,kaka na ndugu wote
RAHA YA MILELE UMPE EE BWANA NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE APUMZIKE KWA AMAN.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...