Mkuu wa Vodacom Tanzania kanda ya ziwa Dominician Mkama akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(Hawapo pichani)wakati wa kuendeleza kampeni ya kuzuia ajali barabarani inayojulikana kama“Zuia Ajali Sasa,Toa Taarifa Mapema” kupitia namba 0800757575 kwa watumiaji wote wa simu ikiwa ni bure kwa wateja wa Vodacom.Kampeni hiyo inayoendeshwa na jeshi la polisi  kikosi cha Usalama barabarani,Vodacom Tanzania na vyombo vya habari vya ITV/Radio one ilifanyika  katika stendi ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza.
 Mkuu wa jeshi la polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Mwanza Kamanda Mohamed Likwata akiwapatia maelezo baadhi ya abiria waliokuwa wakisafiri kutoka Mwanza kwenda Bukoba kuhusiana na  kampeni ya kuzuia ajali barabarani inayojulikana kama“Zuia Ajali Sasa,Toa Taarifa Mapema”kupitia namba 0800757575 kwa watumiaji wote wa simu ikiwa ni bure kwa wateja wa Vodacom Tanzania,Kampeni hiyo inaendeshwa na jeshi la polisi  kikosi cha Usalama barabarani kwa kushirikiana na Vodacom Tanzania  na Vyombo vya habari vya ITV/Radio one ilifanyika  katika stendi ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza.
 Abiria Aaron Yuda Mkazi wa jijini Mwanza(kushoto)aliyekuwa akisubiria basi la kwenda Bukoba akimfafanulia jambo maofisa wa jeshi la polisi kikosi cha Usalama Barabarani mkoani humo wakati wa zoezi la kampeni ya kuzuia ajali barabarani inayojulikana kama“Zuia Ajali Sasa,Toa Taarifa Mapema”kupitia namba 0800757575 kwa watumiaji wote wa simu ikiwa ni  bure kwa wateja wa Vodacom Tanzania,Kampeni hiyo inaendeshwa na jeshi la polisi  kikosi cha Usalama barabarani kwa kushirikiana na Vodacom Tanzania  na Vyombo vya habari vya ITV/Radio one ilifanyika  katika stendi ya mabasi ya Nyegezi jijini humo.
 Baadhi ya abiria wakiwa tayari kwa safari yao ya kwenda Bukoba mkoa wa Kagera kutoka Jijini Mwanza baada ya kupatiwa elimu na jeshi la polisi  kikosi cha Usalama barabarani kwa kushirikiana na Vodacom Tanzania  na Vyombo vya habari vya ITV/Radio one kuhusiana na kampeni ya kuzuia ajali barabarani inayojulikana kama“Zuia Ajali Sasa,Toa Taarifa Mapema”kupitia namba 0800757575 kwa watumiaji wote wa simu ikiwa ni  bure kwa wateja wa Vodacom Tanzania.Kampeni hiyo ilifanyika katika stendi ya mabasi ya Nyegezi jijini humo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 01, 2015

    MADEREVA NA ABIRIA WOTE WA MABASI YANAYOENDA MIKOANI INABIDI WAFUNGE MIKANDA, PERIOD.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...