Na Bashir Yakubu
Wiki  chache zilizopita, yaani Tarehe  6  JULY,  2015  mahakama  ya  Hakimu Mkazi ya Kisutu  ya jijini Dar es salaam ilitoa  hukumu  katika kesi  maarufu  na  ya  muda  mrefu   iliyokuwa  ikiwakabili  mawaziri  wa  zamani  wawili  na  katibu  mkuu  mmoja. 


Blog  hii  iliripoti  kwa  ufupi   matokeo  ya  kesi  hiyo    na  kuahidi  kutoa  ufafanuzi  wa  kitaalam  hapo  baadae  kupitia  wanasheria  wake. 

 Kwa kuwa  GLOBU YA JAMII imekuwa  mstari  wa  mbele  kueleza  masuala  ya  msingi   ya  kijamii yakiwemo  yale  ya  kisheria  ambayo  hayapatikani mitandao  mingine  ya  kijamii,  imeona  ni  muhimu kuufafanulia  umma nini kilitokea  katika kesi  hii  ya kihistoria mwanzo  hadi mwisho.  Kuendelea kusoma BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...