Spika wa Bunge ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi ya Bunge la Tanzania Mhe. Anne
Makinda akiongea na Ujumbe wa Tume ya
Utumishi kutoka Bunge la Nigeria walipomtembelea leo Ofisini kwake jijini Dar
es Salaam. Ujumbe huo upo nchini kwa lengo la kujifunza masuala mbalimbali ya
Utumishi na Uendeshaji wa Bunge ambapo Mhe. Makinda aliambatana na wajumbe wa
Tume ya Bunge la Tanzania. Kulia kwake ni Kiongozi wa Msafara wa Tume hiyo Mhe.
Yepwi Stephen Dako. Bunge la Tanzania leo kwa lengo la
kujifunza
Spika wa Bunge ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi ya Bunge la Tanzania Mhe. Anne
Makinda akiongea na Ujumbe wa Tume ya
Utumishi kutoka Bunge la Nigeria walipomtembelea leo Ofisini kwake jijini Dar
es Salaam. Ujumbe huo upo nchini kwa lengo la kujifunza masuala mbalimbali ya
Utumishi na Uendeshaji wa Bunge ambapo Mhe. Makinda aliambatana na wajumbe wa
Tume ya Bunge la Tanzania. Kulia kwake ni Kiongozi wa Msafara wa Tume hiyo Mhe.
Yepwi Stephen Dako. Bunge la Tanzania leo kwa lengo la
kujifunza
Spika wa Bunge ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi ya Bunge la Tanzania Mhe. Anne
Makinda akiongea na Ujumbe wa Tume ya
Utumishi kutoka Bunge la Nigeria walipomtembelea leo Ofisini kwake jijini Dar
es Salaam. Ujumbe huo upo nchini kwa lengo la kujifunza masuala mbalimbali ya
Utumishi na Uendeshaji wa Bunge ambapo Mhe. Makinda aliambatana na wajumbe wa
Tume ya Bunge la Tanzania. Kulia kwake ni Kiongozi wa Msafara wa Tume hiyo Mhe.
Yepwi Stephen Dako. Bunge la Tanzania leo kwa lengo la
kujifunza.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...