Viongozi wa
taasisi za vijana kutoka kwenye nchini sita wamekutana mjini Bagamoyo kujadili
na kuandaa mtaala utakaotumika kuwafundisha vijana namna ya kufanya
ujasiliamali usioathiri mazingira “Green Entrepreneurship”.
Mkutano huo
ambao ulitanguliwa na ziara ya mafunzo kwenye Shirika la Maendeleo ya
Nishati Mbadala (TaTEDO), umewashirikisha viongozi wa taasisi za vijana
kutoka Slovenia, Italia, Nepal, Ureno, Argentina na wenyeji Tanzania walipata
fursa ya kujifunza namna ya uzalishaji wa nishati mbadala isiyoathiri mazingira.
Shukuru
Meena, Mratibu wa miradi ya nishati kwenye Shirika la Maendeleo ya
Nishati Mbadala (TaTEDO).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...