STAR TV: Kasi ya Rais Magufuli yawavutia maasikofu, Balozi Mahiga aanza kusaka suluhu Burund,kwa uchambuzi Zaidi tazama hapa;https://youtu.be/gwlQ8B9cJcY
 STAR TV: Kocha Kerry ahofii kutumuliwa simba, Mbwana Samata kutimkia Ubelgiji,kwa habari Zaidi tazama uchambuzi wa magazeti hapa;https://youtu.be/4ynD8I2e8wQ
 TBC: Maaskofu wampa rungu Magufuli, Kasi ya Rais Magufuli yawavutia maaskofu, Kocha Kerry ahofii kufukuzwa Simba. Fuatilia dondoo za magazeti hapa; https://youtu.be/ep5PBTGeWKQ
 AZAM TV: Hapatoshi Kerry dhidi ya Julio uwanjani leo, Guardiola yupo tayari kutua Old Trafford, Wenger amtengea dau Chicharito. Fuatilia Magazeti ya michezo hapa; https://youtu.be/Toht3vyivWc

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...