STAR TV: Kasi ya Rais Magufuli yawavutia maasikofu, Balozi Mahiga aanza kusaka suluhu Burund,kwa uchambuzi Zaidi tazama hapa;https://youtu.be/gwlQ8B9cJcY
STAR TV: Kocha Kerry ahofii kutumuliwa simba, Mbwana Samata kutimkia Ubelgiji,kwa habari Zaidi tazama uchambuzi wa magazeti hapa;https://youtu.be/4ynD8I2e8wQ
TBC: Maaskofu wampa rungu Magufuli, Kasi ya Rais Magufuli yawavutia maaskofu, Kocha Kerry ahofii kufukuzwa Simba. Fuatilia dondoo za magazeti hapa; https://youtu.be/ep5PBTGeWKQ
AZAM TV: Hapatoshi Kerry dhidi ya Julio uwanjani leo, Guardiola yupo tayari kutua Old Trafford, Wenger amtengea dau Chicharito. Fuatilia Magazeti ya michezo hapa; https://youtu.be/Toht3vyivWc
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...