Mkuu wa kitengo cha masoko kutoka Mfuko wa GEPF Bw Aloyce Ntukamazina akimkabidhi vifaa vya michezo mrakimu wa polisi SP Moses Luvinga.
Timu za mpira wa kikapu kutoka chuo cha polisi moshi pamoja na KCMC zikikaguliwa tayari kwa kucheza mchezo wa kirafiki kuashiria uzinduzi wa kiwanja cha mpira wa kikapu katika chuo cha polisi Moshi.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...