Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini, (DPP), Bw. Biswalo Mganga, (katikati), akifafanua jambo wakati wa mkutano wa pamoja na waandishi wa habari ambao ulimkutanisha yeye, Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, kutoka jeshi la polisi, (DCI), Kamishna wa polisi, Diwani Athumani, (kushoto), na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, (TAKUKURU), Bw.Alex Mfungo, kwenye makao makuu ya polisi jijiniDar es Salaam, Januari 28, 2016. Katika taarifayao ya pamoja, taasisihizo zimeanza kutaifisha mali za watuhumiwa wa Ufisadi na Uhujumu uchumi na kuwataka wananchi kujitokeza kuwataja watuhumiwa wanaomiliki mali hizo kokote waliko.(Picha na K-VIS MEDIA/Khalfan Said)

Mkurugezni wa Mashtaka Bw. Biswalo Mganga

DCI Kamishna wa Polisi Diwani Athumani

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, TAKUKURU, Bw. Alex Mfungo

Kamishna Diwani Athumani akizungumza

Bw. Mfungo, (kulia), akiwa na DPP, Mganga

Waandishi wa habari wakiwa kazini

Waandishi wa habari wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yakitolewa na watatu hao
Mmiliki wa Blog ya Full Shangwe, John Bukuku akiuliza swali.
Bw. Oliver Stolpe, (kushoto) kutoka UNODC ambao ni wadau wa Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka DPP, akiwa na Mkuu wa Mahusiano Ofisi ya DPP, Bw. Oswald Tibabyekonya wakitoka kwenye mkutano huo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...