Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia kwenye uzinduzi wa mpango mkakati wa Umoja wa Mataifa unaohimiza Wafanyabiashara Duniani kufanya shuhuli za kwa uadilifu (UNGC) uzinduzi huo umefanyika leo Januari 19,2016 katika Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akionesha kitabu cha mpango mkakati baada ya kuzindua mpango mkakati wa Umoja wa Mataifa unaohimiza Wafanyabiashara Duniani kufanya shuhuli za kwa uadilifu (UNGC) uzinduzi huo umefanyika leo Januari 19,2016 katika Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mwenyekiti wa Jukwaa la mpango Mkakati wa Wafanyabiashara Tanzania Patrick E. Ngowi kushoto, Mwakilishi mkaazi wa Umoja wa Mataifa Alvaro Rodriguez katikati na msaidizi wa Balozi wa Zurich Nchini Florence T. Mattli kabla ya kuzindua mpango mkakati wa Umoja wa Mataifa unaohimiza Wafanyabiashara Duniani kufanya shuhuli zao kwa uadilifu (UNGC) uliofanyika leo Januari 19,2016 katika Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...