Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy A. Mwalimu (kulia) akikabidhiwa rasimi Taarifa ya Utekelezaji wa Wizara kwa Kipindi cha Mwaka 2005-2015 kutoka kwa aliyekuwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Sophia M. Simba (Mb) eneo la Magogoni Dar es salaam leo  tarehe 8/1/2016.
   Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy A. Mwalimu (kulia) akisikiliza kwa makini maneno machache  kutoka kwa aliyekuwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Sophia M. Simba (Mb) eneo la Magogoni Dar es salaam leo tarehe 8/1/2016.
  Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy A. Mwalimu (kulia) akitoa shukrani za dhati  baada ya kukabidhiwa rasmi Taarifa ya Utekelezaji wa Wizara kwa Kipindi cha Mwaka 2005-2015 kutoka kwa aliyekuwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Sophia M. Simba (Mb) eneo la Magogoni Dar es salaam leo tarehe 8/1/2016.
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy A. Mwalimu (kulia) pamoja na aliyekuwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Sophia M. Simba (Mb) ,Kaimu katibu Mkuu Bwana Marcel Katemba pamoja na Wakurugenzi wengine kwenye makabidhiano yaliyo fanyika leo  Jijini Daressalaam leo tarehe8/1/2016.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...