Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa Michuzi Blog, Bw. Chalila Chibuda (kushoto) akikabidhiwa na Kaimu Mkuu wa Habari Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Bw. Clarence Nanyaro cheti maalum cha kutambua mchango wa blogu hiyo maarufu duniani namna ilivyoshiriki katika kurusha matangazo, mijadala, habari na michezo iliyoelimisha na kuhamasisha wananchi kujitokeza katika shughuli mbalimbali za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015. Hafla hiyo ya kukabidhi vyeti kwa vyombo vya habari vilivyofanya vizuri kazi hiyo ilifanyika Makao Makuu ya NEC Dar es Salaam leo.
Home
Unlabelled
MICHUZI BLOG YAPONGEZWA NA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...