JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA
MAKAMU WA RAIS
Nchi yetu ina kingo za mito na mabonde na maeneo mengi
hatarishi ambamo watu wanaishi kinyume cha sheria,
huku wakiharibu mazingira na kuhatarisha maisha yao.
Kutokana na uhaba wa makazi, hali ni mbaya zaidi katika
mabonde ya Jiji la Dar es Salaam, hasa bonde la Mto Msimbazi.
Serikali za awamu zote, zimekuwa
zikifanya jitihada za
kuwaondoa wakazi wa maeneo ya mabondeni wanaoishi katika maeneo hayo kinyume cha sheria lakini mafanikio yamekuwa si ya kuridhisha.
kuwaondoa wakazi wa maeneo ya mabondeni wanaoishi katika maeneo hayo kinyume cha sheria lakini mafanikio yamekuwa si ya kuridhisha.
Serikali ya Awamu ya Tano, ambayo
moja ya misingi
yake mikuu ni utii wa sheria za nchi, imeanza jitihada
za kuwaondoa wakazi hawa. Tuliamua kuanza na
Bonde la Mto Msimbazi kwasababu ndiko kwenye
watu wengi na athari kubwa.Sababu zetu kuu za
kufanya zoezi hili ni kusafisha mabonde na mito
katika jiji la Dar es Salaam na mazingira yanayozunguka ni:-
Kusoma zaidi BOFYA HAPAyake mikuu ni utii wa sheria za nchi, imeanza jitihada
za kuwaondoa wakazi hawa. Tuliamua kuanza na
Bonde la Mto Msimbazi kwasababu ndiko kwenye
watu wengi na athari kubwa.Sababu zetu kuu za
kufanya zoezi hili ni kusafisha mabonde na mito
katika jiji la Dar es Salaam na mazingira yanayozunguka ni:-
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...