Mfanyabishara mkubwa wa Chocolate duniani na mmiliki wa Kampuni ya kutengeneza Chocolate nchini Italia, ya SILVIO BESSONO Bw SILVIO BESSONO aikimzawadia Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Prof Audax Mabula bidhaa zinazotengenezwa na kampuni yake.
 Bw SILVIO BESSONO akifafanuliwa jambo kwenye ukumbi wa historia na mratibu wa safari yake hapa nchini Bi Judith R. Mayuu baada ya kupata maelezo kutoka kwa mtaalam wa Makubusho Bw Frank aliopo kushoto.
 Bw SILVIO BESSONO akipokea maelezo  kutoka kwa mtaalam wa Makumbusho Dr Amandus Kweka juu ya fuvu la mwanadamu wa kale alie ishi miaka zaidi milioni 1.7 iliyopita ajulikanae kama Zinjanthropus lililopatikana huko ngorongoro Oldvuvai mwaka 1975
 Bw SILVIO BESSONO akisikiliza kwa makini maelezo ya mtaalam wa Makumbusho ya Taifa Dr Agnes Gidna juu ya hifadhi ya masalia ya  mifupa ya wanyama wa kihistoria walioishi takribani miaka 1.8 iliyopita.  
Bw SILVIO BESSONO mwenye shati jeupe na ujumbe wake wakitembezwa Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni, kulia mwanzoni ni Mkurugenzi wa Makumbusho hiyo Bw Achiles Bufure na kushoto ni Mkuu wa Idara ya Mikusanyo ya Makumbusho hiyo Bw Jackson Washa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...