Sehemu ya nyumba za wakazi wa maeneo ya Kwa msisiri-Kinondoni jijini Dar,yakiwa yamezungukwa na maji kufuatia mvua kubwa kunyesha usiku wa kuamkia leo,kwa ni Mvua za masika zinaendelea kunyesha maeneo mbalimbali ya nchi. 
 
 wakazi wa maneo ya Kwamsisiri wilayani Kinondoni wakitafuta namna ya kupita kufuatia njia kuzibwa na maji
 (Picha na Emmanue Massaka wa Globu ya jamii)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...