Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wabunge kwenye viwanja vya
Bunge jini Dodoma Januari 28, 2016. Kutoka kushoto ni Jumanne Kishimba
wa Kahama, Edwin Ngonyani wa Namtumbo ambaye pia ni Naibu Waziri wa
Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Hussein Amar wa Nyangwhale, Prosper
Mbene wa Morogoro Kusini na Joseph Kalanda wa Sikonge. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akijibu maswali Bungeni mjini Dodoma Januari 28, 2016
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Bumbuli, Januari
Makamba, Bungeni Mjini Dodoma, Januari 28, 2016. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...