Baadhi ya Wamamuziki wakongwe wa Muziki wa Dansi hapa nchini, wakiwa kwenye Msiba wa Mwanamuziki Mwenzao, Mzee Kassim Mapili, Magomeni Mapipa Jijini Dar es salaam leo. Mzee Mapili anazikwa jioni ya leo kwenye Makaburi ya Kisutu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...