ORODHA YA MAWAZIRI VIVULI;

1. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI - Mhe. Jaffar Michael. 

2. Waziri wa Nchi Utumishi - Mhe. Ruth Molel. 

3. Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira - Mhe. Ally Saleh (Alberto).

4. Waziri wa Nchi, Sera na Bunge - Mhe. Ester Bulaya.

5. Waziri wa Fedha na Mipango - Mhe. Halima James Mdee.

6. Waziri wa Ujenzi - Mhe. James Francis Mbatia.

7. Waziri wa Nishati na Madini - Mhe. John John Mnyika.

8. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kikanda - Mhe. Peter Msigwa.

9. Waziri wa Mifugo na Uvuvi - Mhe. Magdalena Sakaya. 

10. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Mhe. Juma Hamad Omar. 

11. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi - Mh Godbless Jonathan Lema.

12. Waziri wa Ardhi - Mhe. Wilfred Lwakatare.

13. Waziri wa Maliasili na Utalii - Mhe. Ester Matiko. 

14. Waziri wa Viwanda na Biashara - Mhe. Anthony Calist Komu.

15. Waziri wa Elimu - Mhe. Suzan Limo. 

16. Waziri wa Afya - Mhe. Godwin Molel.

17. Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo - Mhe. Joseph Mbilinyi.

18. Waziri wa Maji na Umwagiliaji - Mhe. Hamidu Bobali.

19. Waziri wa Katiba na Sheria - Mhe. Tundu Antiphas Lissu.

Hapa hawajajumuishwa Manaibu Mawaziri Vivuli!

Imetangazwa na kiongozi rasmi wa upinzani bungeni hii leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Baraza la mawaziri limetimia na lipo powa sana...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...