Mtanange wa Azam Fc na Tanzania Prison uliochezwa katika Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya Ngoma Droo ya bila Kufungana ikiwa nimuendelezo wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara....      
   Baadhi ya Mashabiki Kinazi wa Mpira wa Miguu wakiwa Uwanjani kushuhudia Mtanange huo uliochezwa katika Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya...
 Wachukuwa Taswira Wakirekodi Mtanange huo..
PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG MBEYA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...