Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mh. Jordan Rugimbana akisoma hotuba ya ufunguzi wa Kikao cha Kwanza cha Bodi ya Barabara kilichofanyika leo tarehe 9 Machi 2016 kwenye ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa ,wengine waliokaa kushoto ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mtama Mhe. Nape Nnauye na Makamu Mwenyekiti wa Mfuko wa Barabara ,Mbunge wa Jimbo la Mchinga Mhe. Hamidu Bobali.
Wajumbe wa kikao cha kwanza cha Bodi ya barabara mkoani Lindi wakisikiliza kwa makini hotuba ya Mwenyekiti wa Kikao Mhe. Jordan Rugimbana.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mtama Mhe. Nape Nnauye akizungumza kwenye kikao cha kwanza cha Bodi ya Barabara mkoani Lindi.
Makamu Mwenyekiti wa Mfuko wa Barabara ,Mbunge wa Jimbo la Mchinga Mhe. Hamidu Bobali akijitambulisha kwa wajumbe wa kikao.
Wajumbe wa kikao cha kwanza cha Bodi ya barabara mkoani Lindi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...