Mkurugenzi na Muasisi wa Shule Direct, Faraja Kotta Nyalandu akitoa hotuba wakati wa hafla ya uzinduzi wa mfumo mpya wa kujifunza kupitia simu za mkononi mahususi kwa wanafunzi wa Sekondari ufahamikao kama MAKINI SMS. Kupitia mfumo huo, wanafunzi wa Sekondari wanaweza kujipima kupitia maswali; kupata masomo yaliyofupishwa kwa matumizi ya meseji (SMS); kumuuliza mwalimu mtaalamu wa masomo mbalimbali ‘Ticha Kidevu’; kutumia Wikipedia na kutumia ‘search’ kutafuta na kupata mada wanayohitaji moja kwa moja. Hafla hiyo ilifanyika hivi karibuni, Jijini Dar es salaam.
Sasa ni uzinduzi wa MAKINI SMS.
Mkurugenzi wa Mawasiliano, Iku Lazaro na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Shule Direct. Fatma Said, wakifurahia jambo wakati wa hafla ya uzinduzi wa mfumo mpya wa kujifunza kupitia simu za mkononi mahususi kwa wanafunzi wa Sekondari ufahamikao kama MAKINI SMS, uliofanyika hivi karibuni Jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...