Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akimsikiliza kwa makini Jaji Joseph Warioba alipomtembelea ofisini kwake leo (16/3/2016) kujadiliana kuhusu mambo mbalimbali yanayohusu sekta ya sheria ikiwemo uanzishwaji wa Mahakama maalum ya rushwa na ufisadi.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe (wa pili kulia)akiongea katika kikao na Waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya sheria kilichofanyika leo (16/3/2016) jijini Dar Es Salaam. Wengine pichani ni Jaji Joseph Sinde Warioba (wa pili kushoto)aliyewahi kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu Bw. Amon Mpanju.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...