Mshambuliaji Ramadhani Madebe wa Uchukuzi SC akikokota mpira katikati ya uwanja, huku Mohamed Salum wa GGM akimsogelea. Timu hizo zimetoka satre ya bao 1-1.
Issack Ibrahim (mwenye mpira) akimtoa Fernand Makanga wa GGM akimzuia asilete madhara. Timu zilitoka sare 1-1.
Mshambuliaji Oswald Binamungu wa GGM akitafuta mbinu za kumtoka Ally Poloto wa Uchukuzi SC. Timu hizo zilitoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1.
BOFYA HAPA KWA HABARI ZAIDI
BOFYA HAPA KWA HABARI ZAIDI


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...