Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashililah akisisitiza jambo mbele ya Mkurugenzi wa Kampuni ya Jaffery Ind. Saini Ltd inayofunga Meza na Viti katika Ukumbi wa Bunge Ndg. Vishal Singh Sain baada ya kampuni hiyo kukamilisha zoezi la kufunga meza mpya 404 na viti vipya 94 na kurejeshea viti vya awali katika meza mpya zilizofungwa katika ukumbi huo.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Jaffery Ind. Saini Ltd inayofunga Meza na Viti katika Ukumbi wa Bunge Ndg. Vishal Singh Sain akimuonesha Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashililah jinsi ubora wa Meza Mpya katika Ukumbi wa Bunge na jinsi Kampuni hiyo ilivyofanikisha kurejeshea vipaza sauti katika Meza hizo.
Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashililah akimuonyesha eneo la paa Mkurugenzi wa Kampuni ya Jaffery Ind. Saini Ltd Ndg. Vishal Singh Sain wakati wa ukaguzi huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...