Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana (katikati) akikagua mikondo mikubwa inayotiririsha maji ya mvua kwa wingi kwenye miundombinu ya reli eneo la Gulwe na kusababisha eneo hilo kushindwa kupitika na Treni baada ya kufukiwa na udongo Jana, Mkuu wa Mkoa na timu aliyoambatana nayo walibaini uchimbavu wa mabwawa makubwa ya uvunaji maji ya mvua utasaidia kuondoa athari hizo za mvua.
Mikondo mikubwa inayotiririsha maji ya mvua kwa wingi kwenye miundombinu ya reli eneo la Gulwe na kusababisha eneo hilo kushindwa kupitika na Treni baada ya kufukiwa na udongo jana.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana (katikati) akikagua miundombinu ya reli eneo la Gulwe iliyofunikwa na udongo ulioletwa na mafuriko na kusababisha eneo hilo kushindwa kupitika na Treni, Tayari mafundi wa TRL wameanza kazi ya kufukua njia hiyo ya Reli.
Mafundi wa TRL wakitoa udongo kwenye miundombinu ya reli eneo la Gulwe iliyofunikwa na udongo ulioletwa na mafuriko na kusababisha eneo hilo kushindwa kupitika na Treni.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana (katikati) akifanya majumuisho ya ziara yake ya kukagua miundombinu ya reli eneo la Gulwe iliyofunikwa na udongo ulioletwa na mafuriko na kusababisha eneo hilo kushindwa kupitika na Treni, Tayari mafundi wa TRL wameanza kazi ya kufukua njia hiyo ya Reli.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...