Naibu Meya wa Manispaa ya Temeke, Feythar Salum akionyesha mtalo  kwa watendaji na baadhi ya Madiwani wa  Manispaa hiyo  katika ziara yake iliyofanyika Chang’ombe Polisi jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Property Internationa, Abdul  Haleem (mwenye pama)akizungumza na Madiwani pamoja na watendaji wa  Manispaa ya Temeke juu ya kusaidia Manispaa hiyo katika sekta ya elimu kwa dhamira ya kumuunga mkono  Rais Dkt. John Pombe Magufuli jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...