SIMU.TV:  Wanakijiji Zanzibar wakumbwa na taharuki baada ya nyumba 9 kuungua na moto  katika mazingira ya kutatanisha; https://youtu.be/pI2eAA1LiyE 
SIMU.TV:  Waziri January Makamba ameeleza kuw a zinahitajika takribani Dola za Kimarekani milioni 95 ili kukamilisha miradi mikubwa mitano ya mazingira;https://youtu.be/2QRT1C07_2M
 SIMU.TV:  Wananchi Kilwa wasimamisha msafara wa waziri mkuu Kassim Majaliwa na kumueleza kero zinazowakumba katika maeneo yao; https://youtu.be/Ojx8Ow0u5X4
 SIMU.TV:  Wafanyakazi katika vitengo vya huduma kwa wateja waanza kunufaika kufuatia agizo la serikali kuhusu ajira hizo; https://youtu.be/pwGEx8IVEGc
 SIMU.TV:  Serikali imeombwa kuhakikisha upatikanaji wa umeme wa uhakika ili kuwezesha uzalishaji katika viwanda; https://youtu.be/Na94lIGvV8A 
SIMU.TV:  Jimbo kuu Katoliki Dodoma lapata pigo baada ya askofu mkuu mstaafu Mathiasi kufariki dunia akiwa na umri wa miaka 75; https://youtu.be/06jj4nz77E4
 SIMU.TV:  Mh.Nape afanya ziara ya kushtukiza uwanja wa taifa na kuamuru kusitishwa kwa kiwanda kinachofanya shughuli zake ndani ya uwanja;https://youtu.be/CKs9tBXgW7M
 SIMU.TV:  Michuano ya ligi kuu Uingereza kuendelea  kurindima usiku wa leo katika viwanja mbalimbali; https://youtu.be/hB2AZ_txg-8
 SIMU.TV:  Mh. Samia Suluhu awaahidi wawekezaji kuwa Tanzania itaweka mazingira bora ya uwekezaji ili kuongeza kasi ya ukuzaji wa uchumi;https://youtu.be/UjKydVMsEo4
 SIMU.TV:  Serikali wilayani Njombe yapigana vikumbo na makampuni ya upandaji miti katika kuendeleza kilimo cha misitu; https://youtu.be/2RtYzZdj5Jk
 SIMU.TV:  Rais Magufuli apokea hati ya utambulisho wa mabalozi 3 wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini; https://youtu.be/rgClFYqTTJE
 SIMU.TV:  Mh. Said Kubenea afungwa kifungo cha nje kwa miezi 3 kwa kutumia lugha chafu na matusi kwa aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Kinondoni;https://youtu.be/__GG_wncONQ
 SIMU.TV:  Soko kuu la Kayanga wilayani Karagwe lapata hasara ya bilioni 1.4 baada ya sehemu kubwa ya soko hilo kuteketea na moto; https://youtu.be/cI3NTi-L68s
 SIMU.TV:  Naibu waziri Mh.Kijaji ameeleza kuwa taifa limepata maendeleo  makubwa kwa kutumia mfumo kidijiti  kuhamisha fedha;  https://youtu.be/eICAeq1pSAQ
 SIMU.TV:  Mkutano wa siku 2 wa biashara endelevu barani Afrika kuanza kesho jijini Dar es salaam; https://youtu.be/6U1POmwY6zA
 SIMU.TV:  Mabingwa watetezi Yanga wazidi kuikaba koo Simba baada ya kuchomoza kwa bao 2 kwa 1 dhidi ya Mwadui Fc; https://youtu.be/djvBrC5YZgI
 SIMU.TV:  Nguli wa mchezo wa kikapu nchini Marekani Kobe Bryants kucheza mchezo wake wa mwisho leo hii; https://youtu.be/IwnV0uj4-2M
 SIMU.TV:  Waziri wa biashara, viwanda na masoko Zanzibar Mh.Amina Salum  akabidhiwa rasmi ofisi na kuwataka watumishi kumpa ushirikiano; https://youtu.be/hXGqFvJGwAg
 SIMU.TV:  Timu ya Yanga na Azam FC zala viporo vya mechi zao zilizokuwa zimebaki katika michuano ya ligi kuu Tanzania bara; https://youtu.be/FQgNbU-FyVM  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...