Spika wa Bunge, Job Ndugai  akisalimiana na Spika wa Bunge la Lesotho Mhe. Nthloi Motsamai katika Mkutano wa Maspika kutoka Nchi Wanachama wa SADC unaendelea Nchini Mauritius. Ndugai ndiye Rais wa Umoja wa Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Kusini mwa Jangwa la Sahara (SADC Parliamentary Forum)
  Spika wa Bunge, Job Ndugai  akisalimiana na Spika Mstaafu wa Bunge la Zambia,  Amusaa Mwanamwambwa ambaye ni mmoja wa watoa mada katika  Mkutano wa Maspika kutoka Nchi Wanachama wa SADC unaendelea Nchini Mauritius katikati ni Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Umoja huo Dr. Essau Chiviya. Ndugai ndiye Rais wa Umoja wa Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Kusini mwa Jangwa la Sahara (SADC Parliamentary Forum) 
 Spika wa Bunge, Job Ndugai  akisalimiana na Spika Mstaafu wa Bunge la Zambia , Amusaa Mwanamwambwa ambaye ni mmoja wa watoa mada katika  Mkutano wa Maspika kutoka Nchi Wanachama wa SADC unaendelea Nchini Mauritius katikati ni Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Umoja huo Dr. Essau Chiviya. Mhe. Ndugai ndiye Rais wa Umoja wa Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Kusini mwa Jangwa la Sahara (SADC Parliamentary Forum) 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...