Tunapenda kuwaarifu ndugu, Jamaa na Marafiki kuwa tutakuwa na kikao cha maombolezi ya msiba wa Ndugu yetu David Mhina aliyefariki ghafla hapa London. Kikao hicho kitafanyika siku ya leo tarehe 23/04/2016 kuanzia saa kumi jioni.
Adress ya makutano yetu ni,
15 Manse Close, Hillingdon, UB3 5ED.
Titashukuru Pia kwa msaada wa mchango wako
ambao unaweza ukaweka kwenye account hii👇👇
METRO BANK,
Acc No. 10919417
Sort code 23-05-80.
Name- Michael Ananias Mwanga.
Tunashukuru Sana kwa ushirikiano wako na ni mategemeo yetu kuwa utajumuika nasi kwenye maombi ya ndugu yetu David Mhina
Namba ya dada wa mfiwa.
Mrs. RHODA FRANSIS MWANGA- 07974332047.
Ahsanteni Sana.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...