Taasisi ya Upasuaji Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) itaendesha kambi maalumu mbili za upasuaji moyo kwa kushirikiana na watalaam kutoka nje.
Kambi ya Kwanza: Itaanza leo Aprili 25 hadi 30, 2016. Na kufanya upasuaji wa wagonjwa 25 hadi 30. Kambi hii itashirikisha wataalam toka Australia kupitia Open Heart International.
Kambi ya Pili Itaanza Aprili 30 hadi Mei 7 ambayo itafanya upasuaji wa moyo kwa wagonjwa 70. Kambi hii inashirikisha wataalam kutoka Saudi Arabia na London kupitia Al-Muntada Aid.
85%ya wagonjwa wote watakaofanyiwa upasuaji watakuwa watoto.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...