Ndugu zangu tunatangaza kifo cha ndugu yetu David Masasi (pichani)mkilichotokea jana mji wa  Swansea nchini Uingereza.Marehemu hana ndugu au jamaa wa karibu  mitaa ya Swansea na kwengineko UK.Kama utamaduni wetu tujitahidi kuona kwamba mwili wa marehemu unasafirishwa kwenda Dar es Salaam.Michango yenu ni muhimu sana kufaniksha zoezi hili.

ACCONT DETAILS :
M.UPETE
BACKLAYS BANK
SORT CODE:207103
ACCOUNT:43389219


Kwa tarifa zaidi wasiliana na  KAMATI MAALUM
MR MWAUPETE TEL 07404151936
MR KAPINGA KANGOMA TEL.07535210471
LEYBAB MDEGELA TEL 07545213515
AMRI DELLO

Ili mwana Adam aweze kuishi  maisha yenye maana hapa ulimwenguni na akhera hana budi kuwa na ujuzi wa yakini juu ya lengo,hadhi na dhima aliyonayo  hapa ulimwenguni.Please  kindly toa chochote ulichonacho Mungu atakulipa.Asante

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...