Ndugu zangu tunatangaza kifo cha ndugu yetu David Masasi (pichani)mkilichotokea jana mji wa Swansea nchini Uingereza.Marehemu hana ndugu au jamaa wa karibu mitaa ya Swansea na kwengineko UK.Kama utamaduni wetu tujitahidi kuona kwamba mwili wa marehemu unasafirishwa kwenda Dar es Salaam.Michango yenu ni muhimu sana kufaniksha zoezi hili.
ACCONT DETAILS :
M.UPETE
BACKLAYS BANK
SORT CODE:207103
ACCOUNT:43389219
Kwa tarifa zaidi wasiliana na KAMATI MAALUM
MR MWAUPETE TEL 07404151936
MR KAPINGA KANGOMA TEL.07535210471
LEYBAB MDEGELA TEL 07545213515
AMRI DELLO
Ili mwana Adam aweze kuishi maisha yenye maana hapa ulimwenguni na akhera hana budi kuwa na ujuzi wa yakini juu ya lengo,hadhi na dhima aliyonayo hapa ulimwenguni.Please kindly toa chochote ulichonacho Mungu atakulipa.Asante


R.I.P David Masasi
ReplyDelete