Wachezaji wa timu ya netiboli ya Uchukuzi Sports Club, Grace Mwasote (kushoto mwenye mpira) akizuiwa na Johari William wakati wa mazoezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Bandari, Kurasini mwishoni mwa wiki. Timu hiyo inajiandaa kwa mashindano ya Mei Mosi yatakayofanyika mjini Dodoma.
 Grace Mwasote akiwa na mpira akiangalia jinsi ya kuwatoka wachezaji wenzake wa timu ya netiboli ya Uchukuzi Sports Club. Wengine pichani ni Johari William (kushoto) na Maimuna Ayelo.
 Matalena Mhagama mfungaji mkongwe pia wa timu  ya Taifa ya netiboli(kushoto), akizuiwa na Sharifa Mustafa (kulia) huku Mary Kajigili (kushoto nyuma),akiangalia.
Maimuna Ayelo (kushoto) akidaka mpira huku Subira Jumanne akijiandaa kumzuia katika mazoezi ya timu ya netiboli ya Uchukuzi yaliyofanyika kwenye uwanja wa Bandari Kurasini, wakijiandaa na mashindano ya Mei Mosi.Imetolewa na kitengo cha Sheria na Mahusiano - TAA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...