Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC Jecha Salim Jecha akiwa katika mazungumzo na Mwenyekiti wa NEC Jaji Damian Lubuva ,Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima Ramadhani pamoja na Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi walipokutana makao makuu ya NEC kuzungumzia maswala mbali mbali ya Demokrasia na mustakabali wa Siasa za Tanzania hapo jana tarehe 9-5-2016.
 
 Picha ya pamoja


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...