Dk. Sophia Mlote, mkazi wa Kinyerezi Zimbili jijini
Dar es Salaam akiweka sawa vifaa mbalimbali kwenye banda lake la kilimo ambamo
amepanda nyanya. Dk. Mlote anatekeleza kilimo hai kupitia mradi wa Green Voices
unaofadhiliwa na taasisi ya Foundation for Women of Africa ambayo inaongozwa na
Makamu wa Rais mstaafu wa Hispania, María
Teresa Fernández de la Vega. (Makala na Picha zimeandaliwa na www.brotherdanny.com

Bw. Hamaro akiandaa tray maalum kwa ajili ya
kuwapa wanakikundi kupandikiza mbegu kabla ya kupeleka kwenye vitalu vyao. Hii
ilikuwa ni sehemu ya mafunzo ya vitendo.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...