Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akizungumza na watendaji wa Chama kutoka wilaya zote za mkoa wa Kilimanjaro, katika kikao kilichofanyika Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro mjini Moshi leo.


Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kilimanjaro, Iddi Mohamed akifungua kikao kabla ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rajab Luhwavi kuzungumza na watendaji wa Chama kutoka wilaya zote za mkoa wa Kilimanjaro leo

Mkuu wa kitengo cha Utafiti na Mafunzo ya Itikadi kutoka Idara ya Itikadi na uenezi Makao Makuu ya CCM, Frank Uhahula akijitambulisha na kutambulisha ugeni uliofuatana na naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rajabu Luhwavi kwenye kikao hicho.

Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akizungumza na watendaji wa Chama kutoka wilaya zote za mkoa wa Kilimanjaro, katika kikao kilichofanyika Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro mjini Moshi leo.

PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...